20 Nimekuandikia misemo makumi tatu, misemo ya maonyo na maarifa,
Lakini Yawe anasema: “Kwa sababu wamasikini wanaugua, na wakosefu wanalia, sasa ninasimama, nami nitawapa usalama wanaoutazamia.”
Musikilize maana nitakachosema ni jambo la lazima; katika midomo yangu mutatoka mambo ya haki.
Muhubiri alijikaza kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa usawa maneno ya kweli.
Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu.