Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 22:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Kinywa cha mwasherati ni shimo refu; anayechukiwa na Yawe atatumbukia ndani yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 22:14
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Si Solomono alitenda zambi kwa sababu ya wanawake wa namna hiyo? Yeye alikuwa mufalme mukubwa kuliko wafalme wa mataifa mengine. Mungu akamupenda na akamufanya kuwa mufalme juu ya watu wote wa Israeli, hata hivyo wanawake wa mataifa mengine, wakamusukuma kutenda zambi.


“Lakini watu wangu hawakunisikiliza; Israeli hakunitaka kabisa.


Kahaba ni kama shimo refu; mwanamuke mugeni ni kama kisima chembamba.


Jambo moja nililotambua linalokuwa baya zaidi kuliko kifo, ni mwanamuke ambaye moyo wake ni mutego na wavu, na mikono yake ni kama minyororo. Lakini anayemupendeza Mungu anamwepuka mwanamuke yule, lakini mwenye zambi ananaswa naye.


Yawe aliona jambo hilo akawaacha; aliwakataa watoto wake, wanaume na wanawake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ