13 Muvivu anasema: “Kuna simba inje. Nitauawa katika njia.”
Njia ya muvivu inajaa miiba, lakini njia ya mutu wa usawa ni wazi kama barabara kubwa.
Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.
Yawe analinda maarifa lakini anayavuruga maneno ya waovu.
Nimekwisha kuvua nguo zangu, nitazivaa namna gani tena? Nimekwisha kunawa miguu yangu, niichafue namna gani tena?