Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 22:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Umufukuze mwenye kiburi na fujo itatoweka, na ugomvi na matusi vitakoma.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 22:10
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mumoja kati ya wana wa Yoyada mwana wa Kuhani Mukubwa Eliasibu, alioa binti wa Sanibalati kutoka muji wa Beti-Horoni, kwa sababu hiyo nikamufukuza kutoka mbele yangu.


Nitateketeza yule anayemuteta mwenzake, sitamuvumilia mwenye majivuno na kiburi.


Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.


Mwenye kiburi na majivuno jina lake ni “Mazarau”; anatenda kwa kujivuna tu.


Na kama akikataa kuwasikia watu wale, upeleke habari kwa kanisa. Naye akikataa kusikia kanisa vilevile, umuhesabu kama mupagani na mutenda maovu sawa walipishaji wa kodi.


Waisraeli walipoona kwamba Abimeleki amekufa, wakaondoka na kurudi kila mumoja kwake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ