Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 21:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mwenye haki anajua yanayokuwa katika nyumba ya waovu: waovu wanaangushwa chini na kuangamia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 21:12
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu alipoangamiza miji katika bonde ambamo Loti alikuwa anakaa, alimukumbuka Abrahamu kwa kumutosha Loti katika miji hiyo, kusudi Loti asiangamizwe pamoja nayo.


Nimepata kuona mupumbafu akistawi, lakini kwa rafla nikalaani makao yake.


Wanaegemea nyumba yao lakini haitasimama, wanaishikilia lakini haidumu.


Wenye hekima wafikiri juu ya mambo haya, watambue wema wa Yawe.


Wewe unapenda ubaya kuliko uzuri, unapenda uongo kuliko ukweli.


Haki inalinda wenye mwenendo sawa, lakini zambi inaangusha waovu.


Nyumba ya mutu mwovu itabomolewa, lakini hema ya watu wa usawa itaimarishwa.


Mwovu anaangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwenye haki atapata usalama kwa uaminifu wake.


Waovu wakiongozeka, zambi zinaongezeka. Lakini wenye haki watashuhudia kuanguka kwao.


Enyi watu wa Efuraimu, muko na maneno gani tena na sanamu? Mimi ndiye ninayesikiliza maombi yenu, mimi ndiye ninayewatunza. Mimi nitawapa kivuli kama cha muti wa muberoshi; kutoka kwangu mutapata matunda yenu.


Niliwaangusha wamoja kati yenu kwa maangamizi kama nilivyoangamiza Sodoma na Gomora. Wale waliobaki kati yenu, walikuwa kama kijiti kilichookolewa katika moto. Hata hivyo hamukunirudilia. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Lakini, wengi sana kati yao hawakumupendeza Mungu, kwa hiyo wakakufia katika jangwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ