Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 20:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Mufalme anapoikaa kwa kutoa hukumu, anapepeta uovu wote kwa macho yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 20:8
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

yeye ni kama mwangaza wa asubui, jua linapochomoza asubui isiyokuwa na mawingu. Yeye ni kama mvua inayootesha majani juu ya udongo.


Solomono alijenga uwanja wa kiti cha kifalme ambamo aliamulia maneno ya watu. Huu uliitwa vilevile Uwanja wa Hukumu. Ulipambwa kwa mbao za mierezi kutoka sakafu mpaka dari.


Mufalme awatetee wamasikini wa taifa, awasaidie wakosefu, na kuwaangamiza watesaji.


Lakini wewe, ee Yawe, ni mukubwa kwa milele.


Ee mufalme mukubwa, mupenda haki, umesimamisha usawa katika Israeli; umeleta sheria na haki.


Ni chukizo kubwa kwa wafalme kutenda uovu, maana musingi wa mamlaka yao ni haki.


Mufalme mwenye hekima anapepeta waovu; anawaazibu bila huruma.


Uwaondoe waovu mbele ya mufalme, na utawala wake utaimarika katika haki.


Mufalme anayewaamua wamasikini kwa haki, ataona utawala wake unaimarika milele.


Kutatokea mufalme atakayetawala kwa haki, nao wakubwa wataongoza kwa kufuatana na sheria ya Mungu.


“Asiyekuwa wa upande wangu ni adui yangu; na asiyekusanya pamoja nami, anasambaza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ