Lakini Yoasi mufalme wa Israeli akamupelekea Amazia mufalme wa Israeli ujumbe, akisema: “Siku moja muti wa mubaruti wa Lebanoni uliuambia muti wa mwerezi wa kule Lebanoni: ‘Umwoeshe binti yako kwa mwana wangu.’ Lakini nyama wa pori akapita pale na kuukanyagakanyaga mubaruti ule.