Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 20:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Sikio linalosikia na jicho linaloona, vyote viwili vimefanywa na Yawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 20:12
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uyafungue macho yangu, nipate kuona maajabu ya sheria yako.


Aliyefanya sikio, yeye hawezi kusikia? Aliyeumba jicho, yeye hawezi kuona?


Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe?


Onyo la mwenye hekima kwa mutu musikilivu ni bora kuliko pete au ushanga wa zahabu safi.


Siku hiyo viziwi watasikia ujumbe ukisomwa katika kitabu na kutoka katika giza, vipofu wataanza kuona.


kusudi ufungue macho yao, ukiwaongoza watoke katika giza na kuwaingiza katika mwangaza. Watatoka chini ya uwezo wa Shetani na kumugeukia Mungu, kusudi kwa njia ya kuniamini wapate kusamehewa zambi zao na kupewa urizi pamoja na watu wake watakatifu.’


Kama mwili wote ungekuwa jicho, namna gani ungeweza kusikia? Na kama ungekuwa sikio, namna gani ungeweza kunusa?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ