Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Analinda mienendo ya watu wanaofuata sheria yake, na kuchunga njia za waaminifu wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 2:8
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maana Yawe anashugulikia njia ya watu wa haki; lakini njia ya waovu itaangamia.


Yawe anawalinda wote wanaomupenda; lakini anawaangamiza waovu wote.


na kuirudishia nafsi yangu nguvu mupya. Ananiongoza katika njia sawa kwa utukufu wa jina lake.


maana Yawe anapenda haki, wala hawaachi waaminifu wake. Anawalinda hata milele; lakini wazao wa waovu wataangamizwa.


Sheria ya Mungu wake ni ndani ya moyo wake, naye hapiti pembeni katika mwenendo wake.


Yeye ametujalia maisha, wala hakutuacha tuanguke.


Yawe anawapenda wale wanaochukia uovu, anayalinda maisha ya watu wake, anawaokoa kutoka makucha ya waovu.


Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.


humo hamutakuwa simba, nyama yeyote mukali hatapitia humo, hao hawatapatikana humo. Lakini waliokombolewa ndio watakaopita humo.


Yawe anawapenda watu wake, anawalinda watakatifu wake wote. Wanamufuata na kupata maagizo kutoka kwake.


Ninyi ambao kwa imani munalindwa salama kwa nguvu za Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa kwa mwisho wa nyakati.


Basi yeye anayeweza kuwalinda kusudi musianguke, na kuwasimamisha ninyi mbele ya utukufu wake pasipo kilema na kwa furaha kubwa,


Anayalinda maisha ya waaminifu wake, lakini anaangamiza maisha ya waovu katika giza. Maana, mwanadamu hapati ushindi kwa nguvu zake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ