Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 2:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Maana watu wa usawa watarizi inchi, na watu wakamilifu watadumu ndani yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 2:21
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kulikuwa mutu mumoja katika inchi ya Usi, aliyeitwa Yobu. Mutu yule alikuwa mukamilifu, wa usawa, mwenye kumwogopa Mungu na mwenye kuepukana na uovu.


Katika miaka ya Yobu iliyofuata, Yawe alimubariki zaidi kuliko hata alivyokuwa amemubariki pale mbele. Basi Yobu akakuwa na kondoo elfu kumi na ine, ngamia elfu sita, ngombe elfu mbili na punda dike elfu moja.


Lakini wapole watarizi inchi, hao wataifurahia amani kamili.


Yawe anatunza maisha ya watu wakamilifu, na urizi wao utadumu milele.


Waliobarikiwa na Yawe watarizi inchi, lakini waliolaaniwa naye wataongolewa.


Watu wa haki watarizi inchi, nao wataishi humo milele.


Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Watu wanaotenda mabaya wataangamizwa, lakini wanaomutumainia Yawe watarizi inchi.


Siku moja tu ndani ya hekalu lako, ni bora kuliko siku elfu pahali pengine; afazali kubakia kwa mulango wa nyumba yako, kuliko kuishi ndani ya nyumba ya waovu.


Wenye haki hawataondolewa katika inchi hata kidogo, lakini waovu hawatakaa katika inchi.


Anayepotosha mutu wa usawa katika njia mbaya, ataanguka katika shimo lake mwenyewe. Wakamilifu watarizi mazuri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ