Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 2:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kwa hiyo utafuata mufano wa watu wazuri, na kufuata mienendo ya wenye haki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 2:20
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Muondoke kwangu, enyi waovu, kusudi nipate kushika amri za Mungu wangu.


Mimi ni rafiki ya wote wanaokuheshimu, rafiki ya wanaoshika kanuni zako.


Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia ya usawa.


Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili.


Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.


Yawe anasema hivi: Musimame katika masanganjia, muangalie. Muulize juu ya matukio ya zamani. Mutafute pahali panapokuwa njia nzuri muifuate, nanyi mutaweza kupumzika. Lakini wao wakasema: Hatutafuata njia hiyo.


Basi musigeuke kuwa wavivu, lakini mufuate mufano wa wale wanaoamini na kuvumilia. Kwa njia hiyo wanapokea yale Mungu aliyoahidi kuwapa.


Mupendwa wangu, usifuate mufano mubaya, lakini ufuate mufano muzuri. Mutu anayetenda mema ni mutoto wa Mungu; lakini anayetenda mabaya hashirikiani na Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ