Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 2:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Nyumba yake inaelekea kifo, njia zake zinakwenda kuzimu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 2:18
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Aliona kwamba pahali pa kupumzikia ni pazuri, na kwamba inchi ni ya kupendeza, akauinamisha mugongo wake kubeba muzigo, akakuwa mutumwa kwa kufanya kazi za kinguvu.


Maana wajinga wanajiua kwa kiburi chao, wapumbafu wanajiangamiza kwa kufanikiwa kwao.


Lakini mujinga hajui kwamba mule muna wafu, wageni wa mwanamuke yule wako chini katika kuzimu.


Mujue waziwazi kwamba mwasherati yeyote na muchafu na mwenye tamaa ya mali (mwenye tamaa ni kama mwenye kuabudu sanamu), hao wote hawatapewa sehemu ya urizi katika Ufalme wa Kristo na Mungu.


Lakini watu wenye woga, wasioamini, wenye machukizo, wauaji, wazinzi, wachawi, wanaoabudu sanamu na wote wanaosema uongo, fungu lao ni katika lile ziwa la moto na ndani ya mawe ya kiberiti yanayowaka moto. Hiki ndicho kifo cha pili.”


Lakini mbali ya muji ule kuna watu wenye kuchukiza, wachawi, wazinzi, wauaji, wanaobudu sanamu na wasema uongo na wote wanaoupenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ