Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 2:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 mwanamuke anayemwacha mwenzake wa ujana wake, na kusahau agano la Mungu wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 2:17
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ndiyo maana mwanaume anamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na muke wake, nao wawili wanakuwa mwili mumoja.


Chemichemi yako ibarikiwe, umufurahie muke uliyemwoa ukiwa kijana.


Na sasa hivi tu unanililia, ukisema: Wewe ni baba yangu, ulinipenda tangu utoto wangu?


Nilipopita tena karibu nawe, nikakuona. Wakati huu, ulikuwa umefikia umri wa kupendwa kama binti. Nikalitandaza vazi langu juu yako na kuufunika uchi wako. Nikafanya nawe agano la ndoa, nawe ukakuwa wangu. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ