Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Utaepukana na mwanamuke mwasherati, mwanamuke kahaba wa maneno matamu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 2:16
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kinywa cha mwasherati ni shimo refu; anayechukiwa na Yawe atatumbukia ndani yake.


Kahaba ni kama shimo refu; mwanamuke mugeni ni kama kisima chembamba.


Anayesema uongo anachukia wale anaowaumiza, naye anayebembeleza analeta maangamizi.


Mwenye kumubembeleza jirani yake, anatega mutego wa kujinasa mwenyewe.


Yatakulinda mbali na mwanamuke mubaya, yatakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.


Jambo moja nililotambua linalokuwa baya zaidi kuliko kifo, ni mwanamuke ambaye moyo wake ni mutego na wavu, na mikono yake ni kama minyororo. Lakini anayemupendeza Mungu anamwepuka mwanamuke yule, lakini mwenye zambi ananaswa naye.


Lakini aliendelea kulia katika muda wao wote wa siku saba za sherehe za arusi. Siku ya saba Samusoni akamwambia muke wake kile kitendawili kwa sababu alimwuzi sana. Muke wake akaenda haraka akawaambia watu wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ