Yawe anasema: Watu wangu wapendwa wana haki gani ya kuingia ndani ya hekalu langu ikiwa wametenda maovu? Wanazani kwamba viapo vyao na sadaka zao wanazonitolea zitawakingia hasara ile.
Siku hiyo, hautapata haya kutokana na matendo yako ya kuniasi, maana nitawaondoa kati yako wale wanaojivuna na kujitukuza, nawe hautakuwa na kiburi tena kwenye mulima wangu mutakatifu.
Nao wanajua kwamba Sheria ya Mungu inasema kwamba watu wanaotenda maneno haya wanastahili kufa. Lakini hata hivi wanaendelea, si kuyafanya tu, lakini kukubaliana na wale wanaoyatenda.