11 Hekima itakulinda, ufahamu utakuchunga;
Ukamilifu na usawa vinanikinga, maana ninakutumainia wewe.
Zitawaerevusha wajinga, zitawapa vijana maarifa na akili.
Usimwache hekima, nayo itakutunza; umupende, nayo itakulinda.
Nguvu nyingi zaidi zinahitajika kwa mutumiaji wa shoka lisilonolewa, lakini kutumia hekima kunamufanya mutu afanikiwe.
Muangalie vizuri mwenendo wenu. Musiishi kama wajinga lakini muishi kama wenye hekima.