Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 2:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Maana hekima itaingia ndani ya moyo wako, na maarifa yatapendeza nafsi yako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 2:10
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sijaacha hata kidogo kushika amri yake; maneno yake nimeyatunza ndani ya moyo wangu.


Upendezwe na hayo mashairi yangu, ee Yawe, maana wewe ndiye furaha yangu.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Maagizo yako ni urizi mukubwa kwangu milele; hayo ni furaha ya moyo wangu.


Ninafurahi kwa sababu ya neno lako, kama mutu aliyekuta kitu cha bei kali.


Ninapenda sana sheria yako! Ninafikiri juu yake muchana kutwa!


Kumutii Yawe ni jambo jema; kunadumu milele. Maagizo ya Yawe ni sawa, yote ni ya haki kabisa.


Zitawaerevusha wajinga, zitawapa vijana maarifa na akili.


Hekima iko ndani ya moyo wa mutu mwenye akili, lakini haipatikani hata kidogo ndani ya moyo wa mupumbafu.


Wewe utafurahi kama utayaweka ndani ya moyo, na kuyarudiliarudilia kila wakati.


Usimwache hekima, nayo itakutunza; umupende, nayo itakulinda.


Palepale maneno yako yaliponifikia, niliyameza; nayo yakanifurahisha, yakakuwa matamu katika moyo wangu, maana mimi ninajulikana kwa jina lako, ee Yawe wa majeshi.


Habari za Kristo zikae ndani yenu kwa uwingi. Mufundishane na mushauriane kwa hekima. Mumwimbie Mungu kwa moyo wenu wote na kumushukuru kwa zaburi na nyimbo za kiroho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ