Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mwana wangu, ukikubali maneno yangu, na kushika maagizo yangu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 2:1
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sijaacha hata kidogo kushika amri yake; maneno yake nimeyatunza ndani ya moyo wangu.


Utufundishe ufupi wa maisha yetu kusudi tuweze kuwa na hekima.


Zitawafundisha watu matendo ya hekima, haki, usawa, na sheria ya Mungu.


Mutoto anayeshika sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi anafezehesha baba yake.


Mwana wangu, usisahau mafundisho yangu, lakini kwa moyo wako ushike amri zangu.


Wana wangu, musikilize maadibisho ya baba yenu, mutege sikio mupate kuwa na akili.


Mwana wangu, sikia na kupokea maneno yangu, kusudi upate kuwa na miaka mingi ya kuishi.


uyaweke siku zote ndani ya moyo, uyafunge katika shingo lako.


Mwana wangu, ushike maneno yangu, uchunge amri zangu.


Musikilize! Hekima inaita! Akili inapiga kelele yake!


Hekima amejenga nyumba yake, nyumba yenye nguzo saba.


“Ufalme wa mbinguni unafanana na mali iliyofichwa katika shamba moja. Mutu mumoja alipoiona, akaificha tena. Halafu kwa furaha kubwa akaenda kuuzisha vitu vyake vyote na kununua lile shamba.


Lakini Maria akachunga mambo hayo yote ndani ya moyo na kuyafikiri sana.


Basi Yesu akarudia Nazareti pamoja nao, akaendelea kuwatii. Na mama yake alichunga maneno haya yote katika moyo wake.


“Munitegee sikio vizuri: Mwana wa Mutu atatolewa katika mikono ya watu.”


Wala haziko ngambo ya bahari, hata museme: ‘Nani atakayevuka bahari atuletee kusudi tuzisikie na kuzitii.’


Neno hili ni la kuaminiwa nalo linastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja katika dunia kwa kuokoa wenye zambi. Na mimi ni wa kwanza mwenye zambi kati yao,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ