Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 19:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo ataangamia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 19:9
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ukweli unadumu milele, lakini uongo ni wa muda kidogo tu.


Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo hataepuka azabu.


Mushuhuda mwongo ataangamia, lakini anayejua kusikiliza hawezi kunyamazishwa.


mushuhuda wa uongo anayesema uongo, na mutu anayechochea fitina kati ya wandugu.


Kwa sababu mumewavunja watu wa haki moyo kwa kusema uongo, ijapokuwa mimi sikuwavunja moyo, mukawaimarisha waovu wasiache mienendo yao mibaya na kuokoa maisha yao,


Kwa hiyo mufalme akafurahi sana; akaamuru kwamba wamwondoe Danieli toka ndani ya pango. Basi wakamwondoa, naye hakuonekana na alama hata kidogo ya kidonda, kwa sababu alimutegemea Mungu wake.


Yule nyama akakamatwa pamoja na yule nabii wa uongo aliyeonyesha vitambulisho mbele yake. (Ni kwa njia ya vitambulisho vile aliwadanganya wale waliopigwa chapa ya yule nyama na wale walioabudu sanamu yake.) Nyama yule pamoja na nabii wa uongo wakatupwa wangali wazima katika ziwa la moto munamowaka mawe ya kiberiti.


Lakini watu wenye woga, wasioamini, wenye machukizo, wauaji, wazinzi, wachawi, wanaoabudu sanamu na wote wanaosema uongo, fungu lao ni katika lile ziwa la moto na ndani ya mawe ya kiberiti yanayowaka moto. Hiki ndicho kifo cha pili.”


Lakini mbali ya muji ule kuna watu wenye kuchukiza, wachawi, wazinzi, wauaji, wanaobudu sanamu na wasema uongo na wote wanaoupenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ