Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 19:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Anayejipatia hekima anapenda nafsi yake; anayeshika ufahamu atastawi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 19:8
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yanatamanika kuliko zahabu, kuliko zahabu safi kabisa. Ni matamu kuliko asali, kuliko asali safi kabisa.


Anayefikiri sana juu ya neno atafanikiwa. Heri mutu yule anayemutumainia Yawe.


Kwa nini mupumbafu kuwa na feza katika mukono kwa kununua hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?


Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo ataangamia.


Wewe utafurahi kama utayaweka ndani ya moyo, na kuyarudiliarudilia kila wakati.


Hekima ni muti wa uzima kwa wote wanaoipata; wana heri wote wanaoshikamana nayo.


Mwana wangu, shika hekima safi na akili; usiviache vitoweke mbele ya macho yako,


navyo vitakuwa uzima katika nafsi yako, na pambo zuri katika shingo lako.


Usiyaache yatoweke mbele ya macho, uyafunge ndani ya moyo wako.


Baba yangu alinifundisha hiki: “Shika kwa moyo maneno yangu, shika amri zangu nawe utaishi.


Usimwache hekima, nayo itakutunza; umupende, nayo itakulinda.


Nitawapa moyo mupya na kuweka roho mupya ndani yenu. Nitauondoa kwenu moyo mugumu kama jiwe na kuwapa moyo musikilivu.


Anayependelea maisha yake atayapoteza, lakini asiyeyashugulikia katika dunia hii, atayachunga hata atakapopata uzima wa milele.


“Anayekubali amri zangu na kuzitii, ni yeye anayenipenda. Baba yangu atamupenda yule anayenipenda, na mimi nitamupenda vilevile na nitajitambulisha kwake.”


Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Kuna mutu anayependa kuishi vizuri, na kukaa katika siku za heri? Azuize ulimi wake na mabaya nayo midomo yake na uongo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ