Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 19:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Watu wengi wanajipendekeza kwa wakubwa; kila mutu anataka kuwa rafiki wa mutu mwenye kupana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 19:6
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Akatoa agizo hilohilo kwa mutumishi wa kundi la pili na la tatu na wengine wote, akisema: “Mutamwambia Esau maneno hayohayo mutakapokutana naye.


Wakati ule Yosefu alikuwa mukubwa kule Misri. Yeye ndiye aliyekuwa akiwauzishia wanainchi ngano. Basi, kaka zake wakakuja na kuinama mbele ya Yosefu kwa heshima.


Basi, wakatwaa zile zawadi na feza mara mbili ya ile ya mbele, wakakwenda Misri pamoja na ndugu yao Benjamina. Walipofika, wakakwenda na kusimama mbele ya Yosefu.


Uzuri wako unavuta moyo wa mufalme; yeye ni bwana yako, lazima umutii.


Uso wa mufalme ukiangaa, kuna uzima; kupendwa naye ni kama wingu la mvua kwa shamba.


Kwa anayetoa kituliro ni kama hirizi; kila kitu anachofanya yeye anafanikiwa.


Zawadi inamufungulia mutu milango; inaweza kumufikisha mutu mbele ya mukubwa.


Kasirani ya mufalme ni kama ngurumo ya simba, lakini upendo wake ni kama umande juu ya majani.


Hasira inatulizwa kwa zawadi ya siri; kituliro kinachotolewa kwa uficho kinatuliza kasirani.


Wengi wanapenda kujipendekeza kwa mutawala, lakini mutu anapata haki yake kwa Yawe.


Wakaingia ndani ya nyumba, wakamwona mutoto pamoja na mama yake, Maria. Wakapiga magoti na kumwabudu mutoto. Kisha wakafungua mizigo yao na kumutolea zawadi ya zahabu, ubani na marasi.


Kwa maana mushahara wa zambi ni kifo, lakini zawadi Mungu anayotoa ni uzima wa milele kwa kuungana na Yesu Kristo, Bwana wetu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ