Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 19:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo hataepuka azabu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 19:5
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yule muzee wa Beteli akamwambia: “Mimi vilevile ni nabii kama wewe, na Yawe amesema nami kwa njia ya malaika akisema: ‘Umurudishe kwako, akule chakula na kunywa maji.’ ” Lakini yule nabii muzee alikuwa anamudanganya tu.


Lakini wewe usimwache bila kumwazibu. Una hekima, utajua utakalomufanyia. Ingawa yeye ana imvi, usimwache. Umwue ingawa ni muzee.”


Wanakutana kwa kufanya mipango na kunivizia; wanachunguza yote ninayofanya; wanafikiri kwa shabaha ya kunizuru.


Usitoe habari za uongo. Usishirikiane na mutu mwovu kwa kuwa mushuhuda mubaya.


Mushuhuda wa kweli anaokoa maisha, lakini musema uongo ni mudanganyifu.


Mushuhuda mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminiwa anabubujika uongo.


Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo ataangamia.


Mushuhuda mwongo ataangamia, lakini anayejua kusikiliza hawezi kunyamazishwa.


mushuhuda wa uongo anayesema uongo, na mutu anayechochea fitina kati ya wandugu.


Kwa hiyo mufalme akafurahi sana; akaamuru kwamba wamwondoe Danieli toka ndani ya pango. Basi wakamwondoa, naye hakuonekana na alama hata kidogo ya kidonda, kwa sababu alimutegemea Mungu wake.


“Usitaje bure jina langu mimi Yawe, Mungu wako, maana mimi Yawe sitaacha kumwazibu yeyote anayetaja bure jina langu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ