4 Mali inavuta warafiki wengi wapya, lakini masikini anaachwa na rafiki yake.
Mali ya tajiri ndiyo kikingio chake. Umasikini wa masikini unamuletea maangamizi.
Masikini anachukiwa hata na jirani yake, lakini tajiri ana warafiki wengi.
Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo hataepuka azabu.