Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 19:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Afazali masikini mwenye mwenendo mukamilifu kuliko mutu mupotovu wa maneno na mupumbafu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 19:1
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini mimi ninaishi katika ukamilifu; unihurumie na kunikomboa.


Siku zote yeye anakopesha kwa moyo safi, na watoto wake ni wenye baraka.


Mutu wa haki anaepuka uovu, lakini njia ya waovu inawapotosha wenyewe.


Mwenye mwenendo sawa anamwogopa Yawe, lakini mupotovu anamuzarau Mungu.


Afazali kuwa na kidogo na kumwogopa Yawe, kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na taabu.


Afazali mali kidogo kwa njia ya haki, kuliko mapato mengi kwa njia isiyofuatana na sheria ya Mungu.


Kitu kinachotakiwa kwa mutu ni uaminifu; afazali mutu masikini kuliko mutu mwongo.


Heri watoto wa mutu wa haki mwenye mwenendo mukamilifu!


Afazali masikini mwenye mwenendo mukamilifu, kuliko tajiri anayeishi kwa upotovu.


Tenga mbali nawe luga potovu; wala midomo yako isiseme maneno madanganyifu.


Maana mikono yenu imechafuka kwa damu, na vidole vyenu kwa matendo maovu. Midomo yenu imesema uongo, na ndimi zenu zinasema uovu.


Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake? Hakuna kitu mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.


Sasa ufikiri juu ya jambo hili na uamue la kufanya. Jambo hili linaweza kuleta hasara kwa bwana wetu na jamaa yake yote. Yeye ni mutu mubaya na hakuna anayeweza kusema naye.”


Usimwangalie Nabali ambaye ni mutu mubaya. Maana jina lake la Nabali linamustahili. Yeye anaitwa Nabali; na kweli yeye ni mutu mupumbafu. Bwana wangu, wale vijana wako ulipowatuma, mimi mujakazi wako sikuwaona.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ