9 Mutu muvivu katika kazi yake ni ndugu ya muharibifu.
Kwa kilio nimekuwa ndugu ya imbwa wa pori, kati ya mimi na mbuni hakuna tofauti.
Uvivu unasababisha umasikini, lakini mukono wa mutu wa bidii unajitajirisha.
Maneno ya muchongeaji ni kama chakula kitamu ambacho kinashuka mpaka ndani kabisa ya tumbo.
Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.
Anayeiba mali ya baba yake au ya mama yake na kusema si kosa, anatumika pamoja na yule anayeangamia.
Naye bwana wake akamujibu: ‘Wewe mutumishi mubaya na muvivu! Ulijua kama ninavuna nafasi nisipopanda, na kukusanya nafasi nisiposambaza.
Musikuwe wavivu katika kazi lakini mukuwe na bidii, mukimutumikia Bwana kwa juhudi.
Basi musigeuke kuwa wavivu, lakini mufuate mufano wa wale wanaoamini na kuvumilia. Kwa njia hiyo wanapokea yale Mungu aliyoahidi kuwapa.