Mezali 18:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Si vizuri kumupendelea mutu mwovu, na kumunyima sheria mutu wa haki. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Halafu wakatuma kwake wamoja kati ya wanafunzi wao pamoja na watu wengine wamoja waliojiunga na Herode kumwuliza maneno haya: “Mwalimu, tunajua kuwa wewe ni mutu wa kweli na kwamba unafundisha kwa kweli njia Mungu anayoamuru. Vilevile haushuguliki na mafikiri ya mutu yeyote kwa sababu hauangalii cheo cha mutu.