Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 17:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Mutoto mupumbafu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mupumbafu hana furaha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 17:21
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Esau alipokuwa na umri wa miaka makumi ine, akaoa wake wawili Wahiti: Yuditi binti ya Beri na Basemati binti ya Eloni.


Hizi ni mezali za Solomono: Mutoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake; lakini mutoto mupumbafu ni huzuni ya mama yake.


Mutoto mwenye hekima anamufurahisha baba yake, lakini mupumbafu anamuzarau mama yake.


Mutoto mupumbafu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake muzazi.


Mutoto mupumbafu ni hasara kwa baba yake; na ugomvi wa muke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.


Ni kwa sababu hii niliwaandikia kwamba sitakuja tena kwenu nisihuzunishwe na watu waliopaswa kunifurahisha. Maana nina uhakika kwamba mimi ninapofurahi, ninyi wote munafurahi vilevile.


Hakuna jambo linalonifurahisha kuliko lile la kusikia kwamba watoto wangu wanaishi katika ukweli.


Lakini watoto hao hawakufuata mwenendo wa baba yao. Lakini walianza kujitafutia faida. Wakapokea kituliro na kupotosha haki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ