Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 17:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mutumwa mwenye hekima atatwaa nafasi ya mwana mupumbafu. Atapata sehemu ya urizi wa jamaa hiyo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 17:2
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwenye akili anakusanya wakati wa mavuno. Kulala wakati wa kuvuna ni haya.


Anayevunja nyumba yake, atavuna upepo. Mupumbafu atakuwa mutumwa wa wenye hekima.


Mufalme anapendezwa na mutumishi anayetenda kwa hekima, lakini hasira yake inawapata wanaotenda mambo yasiyofaa.


Afazali kula mukate wenye kukauka kwa amani kuliko karamu katika nyumba ya ugomvi.


Zahabu na feza vinapimwa kwa moto, lakini Yawe ndiye anayepima mioyo ya watu.


Anayemutesa baba yake na kumufukuza mama yake ni mutoto asiyefaa na mupotovu.


Azabu na maonyo vinaleta hekima, lakini mutoto aliyeachiliwa anapatisha mama yake haya.


Afazali kijana masikini mwenye hekima kuliko mufalme muzee mupumbafu, ambaye hasikilizi shauri jema,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ