Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 17:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Kuanzisha ugomvi ni kama kufungua maji ya kisima; achana na ugomvi mbele haujafurika.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 17:14
28 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme aliendelea mpaka Gileadi. Kimuhamu akakuwa anafuatana naye. Watu wote wa Yuda na nusu ya watu wa Israeli walikuwa wakimusindikiza mufalme.


Abiya na jeshi lake akawapiga Waisraeli sana, akawashinda; akaua waaskari wa Israeli, elfu mia tano waliokuwa kati ya waaskari hodari sana katika Israeli.


Peka, mwana wa Remalia akawaua watu wengi sana. Aliua waaskari mashujaa wa Yuda elfu mia moja na makumi mbili katika siku moja. Ilitokea vile kwa sababu walimwacha Yawe, Mungu wa babu zao.


Kiburi kinasababisha tu ugomvi, lakini kwa wanaokubali shauri jema kuna hekima.


Mutu asiyekuwa mwepesi wa hasira ana akili nyingi, lakini anayekasirika upesi anaongeza upumbafu.


Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.


Asiyekuwa mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwenye nguvu. Anayetawala nafsi yake ni bora kuliko anayetaka muji.


Anayependa ugomvi anapenda zambi. Anayejivuna anajitafutia maangamizi.


Mwenye akili hakasiriki upesi; kusamehe makosa ni utukufu kwake.


Ni jambo la heshima kuepuka ugomvi; wapumbafu ndio wanaogombana.


Mambo uliyoona kwa macho yako, usiharakishe kuyapeleka katika tribinali; maana utafanya nini kwa mwisho, kama jirani yako anakupatisha haya?


Kama vile makaa au kuni vinachochea moto, ndivyo mugomvi anachochea ugomvi.


Mwenye kasirani anachochea ugomvi, mutu wa hasira anasababisha makosa mengi.


Kama ikiwezekana, kwa upande wenu, muishi katika amani na watu wote.


Mufanye bidii sana mupate kuishi katika amani. Mushugulike na mambo yenu ninyi wenyewe na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe sawa vile tulivyokwisha kuwaagiza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ