Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 17:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Onyo kwa mwenye akili lina maana, kuliko mapigo mia moja kwa mupumbafu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 17:10
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Afazali mutu mwema anipige kwa kunionya; lakini sikubali hata kidogo kusifiwa na wabaya, maana ninaomba siku zote juu ya maovu yao.


Mutoto mwenye hekima anasikia maagizo ya baba yake, lakini mwenye kiburi hasikilizi maonyo.


Mupumbafu anazarau mafundisho ya baba yake, lakini anayekubali maonyo ni mwenye akili.


Nia ya mutu mwovu ni kuasi tu; mujumbe mubaya atatumwa juu yake.


Anayesamehe makosa anajenga urafiki, lakini anayekumbusha makosa anatenga warafiki.


Umwazibu mwenye kuzarau naye mujinga atapata akili; umwonye mwenye akili naye atapata maarifa.


Hata kama ukitwanga mupumbafu katika kinu, sawa na ngano, hautaweza kumutenganisha na upumbafu wake.


Mutumwa haonyeki kwa maneno matupu; maana ingawa anayaelewa, yeye hatayatii.


Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ