Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 16:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Afazali mali kidogo kwa njia ya haki, kuliko mapato mengi kwa njia isiyofuatana na sheria ya Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 16:8
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Afazali mali kidogo ya mutu wa haki kuliko utajiri mwingi wa watu waovu.


Afazali kuwa na kidogo na kumwogopa Yawe, kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na taabu.


Afazali kula mboga za majani kwa upendo, kuliko karamu ya nyama nono pamoja na chuki.


Yawe akipendezwa na mwenendo wa mutu, anawageuza hata waadui zake kuwa warafiki.


Mutu anaweza kufanya mipango yake, lakini Yawe anaongoza hatua zake.


Afazali kula mukate wenye kukauka kwa amani kuliko karamu katika nyumba ya ugomvi.


Afazali masikini mwenye mwenendo mukamilifu, kuliko tajiri anayeishi kwa upotovu.


Ni afazali kuwa na kidogo tu, pamoja na amani ndani ya moyo, kuliko kutoa jasho kwa ajili ya kukamata upepo.


Mutu anayepata mali isiyokuwa ya usawa ni kama kwale anayelalia mayai ambayo hakutaga. Mali yanamwishia angali kijana, na kwa mwisho anageuka sawa mupumbafu.


Nitavumilia maovu yaliyolundikwa ndani ya nyumba yao, mali zilizopatikana kwa udanganyifu, na matumizi ya vipimo vya udanganyifu, jambo ambalo ni chukizo?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ