23 Moyo wa mwenye hekima unamwezesha kusema kwa hekima; unayafanya maneno yake yakuwe ya kuvutia.
Mwenye hekima anajibu bila kufikiri na kujaa maneno ya burebure?
Lakini wao watakufundisha na kukuambia mambo waliyopata kuyatoa katika maarifa yao.
Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo: “Mayungiyungi.” Mashairi ya Wakora. Wimbo wa mapenzi.
Moyo wa mwenye haki unafikiri mbele ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu kinatapika uovu.
Mudomo wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini sivyo kwa mioyo ya wapumbafu.
Mwenye hekima ndani ya moyo anaitwa mwenye akili; neno la kupendeza linawavuta watu.
Hekima ni chemichemi ya uzima kwa yule anayekuwa nayo, lakini upumbafu ni azabu ya wapumbafu.
Kwa hiyo, utaweza kulinda akili, na kinywa chako kitashika maarifa.
Habari za Kristo zikae ndani yenu kwa uwingi. Mufundishane na mushauriane kwa hekima. Mumwimbie Mungu kwa moyo wenu wote na kumushukuru kwa zaburi na nyimbo za kiroho.