13 Mufalme anapendelea mutu anayesema maneno ya haki. Anamupenda mutu anayesema kwa usawa.
Mufalme anapendezwa na mutumishi anayetenda kwa hekima, lakini hasira yake inawapata wanaotenda mambo yasiyofaa.
Ni chukizo kubwa kwa wafalme kutenda uovu, maana musingi wa mamlaka yao ni haki.
Hasira ya mufalme ni kama mujumbe wa kifo; mutu mwenye hekima ataituliza.
Mwenye nia safi na maneno mazuri atakuwa rafiki wa mufalme.