4 Ulimi mupole ni musingi wa uzima, lakini uovu wake unavunja moyo.
Mimi ni masikini na mukosefu; ninaumizwa mpaka ndani ya moyo wangu.
Kinywa cha mwenye haki ni chemichemi ya uzima, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na mateso makali.
Maneno ya ovyo yanaumiza kama upanga, lakini kusema kwa mwenye hekima kunaponyesha kidonda.
Macho ya Yawe yanaona kila kitu, yanachunguza kibaya na kizuri.
Mupumbafu anazarau mafundisho ya baba yake, lakini anayekubali maonyo ni mwenye akili.
Maneno mazuri ni kama asali. Ni matamu kwa nafsi na yenye kuupatia mwili afya.
Roho ya mutu inaweza kuvumilia ugonjwa, lakini ukiwa umevunjika moyo, utavumilia namna gani?
Maneno ya muchongeaji ni kama chakula kitamu ambacho kinashuka mpaka ndani kabisa ya tumbo.
Maneno ya muchongeaji ni kama chakula kitamu; yanashuka mpaka ndani kabisa ya tumbo.
Hekima ni muti wa uzima kwa wote wanaoipata; wana heri wote wanaoshikamana nayo.
Kama mutu akifundisha mafundisho mengine, naye hakubali maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo wala mafundisho yanayolingana na dini yetu,
“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda nitamupa ruhusa ya kula matunda ya muti wa uzima unaokuwa katika bustani ya Mungu!