Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 15:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Uso wenye kuangaa unafurahisha moyo. Habari njema inarudishia mwili nguvu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 15:30
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini sasa, ee Yawe, Mungu wetu, kwa muda mufupi umetuonyesha huruma yako na kuwawezesha wamoja kati yetu kuponyoka kutoka katika utumwa na kuishi kwa usalama pahali pako patakatifu. Pahali pa utumwa, umetupa furaha na maisha mapya.


Haki na sheria ndio musingi wa utawala wako; wema na uaminifu vinakutangulia!


Wasiwasi ndani ya moyo inamukosesha mutu raha, lakini neno zuri linamuchangamusha.


Mwenye haki anaangaa kama vile taa inayowaka vizuri, lakini waovu ni kama taa inayozimika.


Yawe anajiweka mbali na watu waovu, lakini yuko karibu na wenye haki kwa kuwasikiliza.


Mutu ambaye anasikiliza maonyo mema ana nafasi yake kati ya wenye hekima.


Moyo wenye furaha ni dawa, lakini moyo wenye huzuni unakondesha mwili.


Kama vile maji baridi kwa mwenye kiu, ndivyo habari njema kutoka mbali inavyokuwa.


Hiyo itakuwa dawa kwa mwili wako, na kitu cha kutuliza mifupa yako.


Mwangaza ni muzuri, na kuona jua kunapendeza macho.


Mimi Yawe nitawaongoza siku zote, nitatimiza mahitaji yenu wakati wa shida. Nitawaimarisha katika mwili, nanyi mutakuwa kama bustani iliyomwangiliwa maji, kama chemichemi ya maji ambayo maji yake hayakauki hata kidogo.


Muji ule hauna lazima ya mwangaza wa jua, wala wa mwezi, kwa sababu utukufu wa Mungu unauangazia na Mwana-Kondoo ndiye taa yake.


Hakutakuwa usiku tena, wala hawatakuwa na lazima ya mwangaza wa taa wala jua, kwa sababu Bwana wetu na Mungu wetu mwenyewe atawaangazia, nao watatawala milele na milele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ