Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 15:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Macho ya Yawe yanaona kila kitu, yanachunguza kibaya na kizuri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 15:3
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe anachunga kwa uangalifu ulimwengu wote, kwa kuwapa nguvu wale wanaokuwa waaminifu kwake. Umetenda jambo la kipumbafu, kwa hiyo tangu sasa, utakuwa na vita kila mara.”


Anawaacha waovu wajione salama, lakini macho yake yanachunguza mienendo yao.


Maana yeye anaona mpaka kwenye miisho ya dunia, anaona kila kitu chini ya mbingu.


Mungu haoni njia zangu na kujua hatua zangu zote?


Yawe anaangalia chini kutoka mbinguni, na kuwaona wanadamu wote.


Ulimi mupole ni musingi wa uzima, lakini uovu wake unavunja moyo.


Maana mwenendo wa kila mutu ni wazi mbele ya Yawe; yeye anachunguza njia zake zote.


Maana, mimi ninayaona matendo yao yote, hakuna hata moja linalofichama mbele yangu. Maovu yao yote ni wazi mbele yangu.


Mutu anaweza kujificha pahali pa siri hata nisiweze kumwona? –Ni ujumbe wa Yawe!– Hamujui kwamba niko kila pahali, katika mbingu na katika dunia? –Ni ujumbe wa Yawe!–


Wewe unapanga kwa hekima na unafanya maajabu; njia za watu wote ziko wazi mbele yako, unamulipa kila mumoja kadiri ya njia zake na matendo yake.


Maendeleo ya ujenzi wa hekalu yanaonekana madogo, na watu wanayazarau; lakini watamwona Zerubabeli akiendelea kulijenga hekalu, nao watafurahi. Sasa, juu ya hizo taa saba, yule malaika akaniambia: Ni macho saba ya Yawe yanayoona kila nafasi katika dunia.


Hakuna kitu kinachoweza kufichwa mbele ya Mungu, lakini vitu vyote vinafunuliwa na viko wazi mbele ya macho yake, yeye tutakayemutolea hesabu ya maneno yetu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ