Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 15:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kutoa jibu zuri kunafurahisha; neno linalofaa kwa wakati wake ni jema sana!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 15:23
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Bwana wetu Yawe amenifundisha jinsi ya kusema, kusudi niwatie moyo wale waliochoka. Kila asubui ananipa hamu ya kusikiliza mambo anayotaka kunifundisha.


Musiseme neno lolote baya, lakini kama ni lazima museme tu maneno mazuri na ambayo yanasaidia kuwajenga wengine na yanayoleta neema kwa wale wanaoyasikia.


Mutu anafanikiwa kutokana na maneno yake kama vile anavyopata matokeo ya kazi za mikono yake.


Mufalme anapendelea mutu anayesema maneno ya haki. Anamupenda mutu anayesema kwa usawa.


Jibu linalokuwa la haki ni kama busu la rafiki.


Kuna muda kwa kila kitu, na wakati kwa kila jambo katika dunia:


Mipango inaharibika kwa kukosa shauri, lakini kwa washauri wengi, inasimama.


Maneno ya kweli yana nguvu kubwa! Lakini makaripio yenu yanafaa kwa nini?


Wasiwasi ndani ya moyo inamukosesha mutu raha, lakini neno zuri linamuchangamusha.


Maneno mazuri ni kama asali. Ni matamu kwa nafsi na yenye kuupatia mwili afya.


Wale wanafunzi wawili waliposikia maneno yale, wakamufuata Yesu.


Wakati Maria aliposikia hivi, akaondoka upesi kwenda kumukuta.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ