Naye mufalme wa Israeli akamujibu Yosafati: “Kungali mumoja, Mikaya mwana wa Imula. Yeye tunaweza kumwomba shauri la Yawe. Lakini ninamuchukia sana kwa sababu yeye, hatabiri jambo zuri juu yangu hata kidogo, lakini baya tu.” Yosafati akamwambia: “Si vizuri kwa mufalme kusema hivyo.”
Lakini ukimwonya mwovu aachane na mwenendo wake, naye haachani na mwenendo wake mubaya, yeye atakufa kwa kosa lake; lakini wewe utakuwa umeyaokoa maisha yako.