1 Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.
Watu wa Yuda wakawaambia watu wa Israeli: “Kwa sababu mufalme ni ndugu yetu wa karibu. Kwa nini munakasirika juu ya jambo hili? Tumekula nini wakati wowote kutoka kwake? Au yeye ametupatia zawadi yoyote?”
Wazee hao wakamujibu: “Leo ukiwa mutumishi wa watu hawa, ukiwatumikia na kuongea nao vizuri unapowajibu, pale watakuwa watumishi wako siku zote.”
Wazee wale wakamujibu: “Ukiwahurumia watu hawa, ukiwafurahisha na kusema nao maneno mazuri, pale watakuwa watumishi wako siku zote.”
Nani aliyenipa kitu, kusudi nipate kumurudishia? Chochote kinachokuwa chini ya mbingu ni changu.
Chuki inaleta ugomvi, lakini upendo unafunika makosa yote.
Mutu wa hasira mbaya anasababisha ugomvi, lakini asiyekuwa mwepesi wa hasira anautuliza.
Kwa uvumilivu mutawala anaweza kusadikishwa; ulimi laini unavunja mifupa.
Muchoyo anachochea magomvi, lakini anayetegemea Yawe atafanikiwa.
Mwenye kasirani anachochea ugomvi, mutu wa hasira anasababisha makosa mengi.
Wenye mazarau wanaleta mavurugo katika muji muzima, lakini wenye hekima wanatuliza kasirani.
Kisha kusema maneno haya, akaaga mukutano.