Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 14:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Ondoka pahali mupumbafu anapokuwa, maana pale anapokuwa hakuna maneno ya hekima.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 14:7
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Mwenye mazarau anatafuta hekima naye haipati, lakini mwenye akili anapata maarifa kwepesi.


Mwana wangu, ukiacha kusikiliza mafundisho, mara moja utapotea mbali na maneno ya maarifa.


Usiseme maneno yako mbele ya mupumbafu, maana atazarau hekima ya maneno yako.


Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”


Naye Hanania akasema hivi mbele ya watu wote: Yawe anasema hivi: Mbele ya miaka miwili, hivi ndivyo nitakavyovunja nira ambayo mufalme Nebukadneza anayoibebesha mataifa yote. Kisha nabii Yeremia akajiendea.


Lakini niliwaandikia kwamba musishirikiane na mutu anayejiita ndugu mwamini, akiwa mwasherati, mwenye tamaa, mwenye kuabudu sanamu, mutukanaji, mulevi au munyanganyi. Na zaidi ya ile musichangie chakula na mutu wa namna hii.


Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ