Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 14:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Mushuhuda mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminiwa anabubujika uongo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 14:5
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wale watenda maovu wawili wakaikaa kwa kumushuhudia Naboti, kisha wakamushitaki mbele ya watu wote wakisema: “Naboti amemutukana Mungu na mufalme.” Basi, Naboti akapelekwa inje ya muji, akauawa kwa kutupiwa mawe.


Usitoe habari za uongo. Usishirikiane na mutu mwovu kwa kuwa mushuhuda mubaya.


Musema kweli anatoa ushuhuda wa kweli, lakini mushuhuda wa uongo anasema udanganyifu.


Mwenye haki anachukia uongo, lakini mwovu anatenda kwa kupatisha haya na mazarau.


Mushuhuda wa kweli anaokoa maisha, lakini musema uongo ni mudanganyifu.


Bila ngombe wa kulima gala za mutu ni tupu. Mavuno mengi yanapatikana kwa nguvu ya ngombe wa kulima.


Mwenye mazarau anatafuta hekima naye haipati, lakini mwenye akili anapata maarifa kwepesi.


Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo hataepuka azabu.


Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo ataangamia.


mushuhuda wa uongo anayesema uongo, na mutu anayechochea fitina kati ya wandugu.


Ikiwa mushuhuda wa uongo atatokea kwa kumushitaki mutu yeyote juu ya kosa fulani,


na kutoka kwa Yesu Kristo. Yeye ni mushuhuda mwaminifu, naye ndiye wa kwanza aliyefufuliwa, vilevile yeye ni mukubwa wa wafalme wa dunia. Yeye anatupenda na ametukomboa toka katika zambi zetu kwa njia ya damu yake.


“Umwandikie malaika wa kanisa la Laodikia hivi: “Ujumbe huu unatoka kwa yule anayeitwa ‘Amina’, mushuhuda mwaminifu, mwenye ukweli, na musingi wa viumbe vyote vya Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ