Mezali 14:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Wajinga wanarizi upumbafu, lakini wenye akili wanalipwa taji ya maarifa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini kila kitu tulichoapa kufanya tutafanya: Tutamufukizia ubani malkia wa mbinguni na kumutolea sadaka ya kinywaji kama tulivyokuwa tunafanya sisi wenyewe na babu zetu, wafalme wetu na wakubwa wetu, katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalema. Kwa wakati huo tulikuwa na chakula tele, tulistawi na hatukuona hasara yoyote.