Mezali 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Haki inalinda wenye mwenendo sawa, lakini zambi inaangusha waovu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Ni mutu anayefanya hivi: anaishi katika ukamilifu, anatenda kwa haki siku zote, anasema ukweli kutoka ndani ya moyo, hatetani, hatendei rafiki yake uovu, hamutukani jirani yake, anazarau wapotevu, anaheshimu wanaomwabudu Yawe, hageuzi kiapo chake hata kikimuletea hasara, hakopeshi feza yake kwa kupata faida, wala kupokea kituliro kumutesa asiyekuwa na kosa. Mutu anayefanya vile, hatatikisika hata kidogo.