23 Shamba la masikini linatoa mazao mengi, lakini linanyanganywa juu ya wale wanaopotosha haki.
Mutu muzuri anakopesha bila faida; anafanya shuguli zake kwa kutumia haki.
Mulimaji mwenye bidii ana chakula tele, lakini anayefuata mambo yasiyofaa hana akili.
Mutu anafanikiwa kutokana na maneno yake kama vile anavyopata matokeo ya kazi za mikono yake.
Anayetunza muti wa tini atakula matunda yake. Anayetumikia bwana wake ataheshimiwa.
Anayelima shamba lake atapata chakula kingi, lakini anayefuata mambo yasiyofaa atapata umasikini tele.
Yule anayependa feza hatatosheka na feza, wala anayetamani mali hata akiipata hatatosheka. Hayo nayo ni bure.
Nao watamuteremusha mwana-ngombe katika bonde kwenye kijito ambacho hakikauki, na bonde hilo halilimwi au kupandwa. Huko watamuvunja huyo mwana-ngombe shingo.