Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 13:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Wanaotenda zambi wanapatwa na hasara, lakini wenye haki wanafanikiwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 13:21
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu waovu watapata mateso mengi, lakini wanaomutumainia Yawe wanazungukwa na wema wake.


Anayezarau mashauri anajiletea maangamizi, lakini anayetii amri atapewa zawadi.


Makaa ya moto yawaangukie; watumbukizwe katika mashimo, wasiinuke tena.


Lakini ninawaonya kwamba musipotimiza ahadi yenu, mutakuwa mumemutendea Yawe zambi; mujue kwa hakika kwamba mutaazibiwa.


Ukitenda vyema hautakubaliwa? Na usipotenda vyema, basi, zambi inajificha kwa mulango; inakutamani, lakini unapaswa kuishinda.”


Wale wenyeji wa kule walipoona nyoka yule anajizingia kwa mukono wake wakasemezana: “Hakika mutu huyu ni mwuaji, kwa maana ijapokuwa alipona katika hatari ya bahari, kufuatana na azabu ya haki ya Mungu, kufa kwake kunatimia.”


Watu wenye kiburi wananishambulia, watu wakali wanawinda maisha yangu, watu ambao hawamujali Mungu.


Ikiwa mwenye haki anapata malipo hapa katika dunia, hakika mwovu na mwenye zambi watalipwa!


Mwenye kulipa mazuri kwa mabaya, mabaya hayataondoka katika nyumba yake.


Lakini hasara itakupata ambayo hautaweza kujiepusha nayo. Magumu yatakutokea ambayo hautaweza kuyapinga; maangamizi yatakufikia kwa rafla ambayo haujapata kuyaona hata kidogo.


maana mutu wa haki anaanguka mara nyingi naye anainuka tena, lakini mutu mwovu anaangamizwa na hasara.


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Mutapatwa na hasara! Hasara isiyoonekana bado!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ