Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 13:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 13:20
27 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakamukamata hata Loti mwana wa ndugu ya Abramu aliyekuwa anakaa Sodoma, pamoja na mali yake, wakajiendea.


Hao vijana wakamujibu: “Watu hao waliokuambia baba yako aliwabebesha muzigo muzito, wakakuomba uwapunguzie muzigo ule, wewe uwaambie hivi: ‘Kidole changu kidogo cha mwisho ni kinene zaidi kuliko kiuno cha baba yangu.


Lakini Rehoboamu alizarau shauri la wazee. Pahali pa shauri lile akashauriana na vijana waliokomaa pamoja naye ambao walikuwa washauri wake.


Nyuma, viongozi hao walipomwona Yosafati, walisema: “Kweli, huyu ndiye mufalme wa Israeli.” Kwa hiyo, walimwelekea, wakamushambulia, lakini Yosafati akapiga kelele.


Kisha akamwuliza Yosafati: “Utaandamana nami kwa kupigana kule Ramoti-Gileadi?” Naye Yosafati akamujibu mufalme wa Israeli: “Ndiyo, mimi na wewe ni mutu mumoja, watu wangu ni watu wako, farasi wangu ni farasi wako.”


Lakini Rehoboamu alizarau shauri la wazee na kwa pahali pake akashauriana na vijana waliokomaa pamoja naye ambao walikuwa washauri wake.


Lakini nabii Yehu mwana wa Hanani, akakwenda kukutana na mufalme, akamwambia: “Unazani ni vema kuwasaidia waovu na kuwapenda wanaomuchukia Yawe? Mambo uliyofanya yamekuletea kasirani ya Yawe.


Alitenda maovu mbele ya Yawe kama vile jamaa ya Ahabu ilivyofanya maana hao ndio waliokuwa washauri wake nyuma ya kifo cha baba yake, mpaka kwa kuangamia kwake.


Mimi ni rafiki ya wote wanaokuheshimu, rafiki ya wanaoshika kanuni zako.


Ni jambo la kufurahisha unapopata kile unachotaka, kwa hiyo wapumbafu wanachukia kuepuka uovu.


Ondoka pahali mupumbafu anapokuwa, maana pale anapokuwa hakuna maneno ya hekima.


Mutu ambaye anasikiliza maonyo mema ana nafasi yake kati ya wenye hekima.


Usifanye urafiki na mutu wa hasira, wala usiandamane na mwenye kukasirika upesi.


Usijifunze mwenendo wake, na kujinasa kabisa katika mutego.


Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, ni pahali pa kuteremukia katika mauti.


Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”


Halafu watu wanaomutii Yawe walizungumuza wao kwa wao, naye Yawe akasikia mazungumuzo yao. Mbele yake kukawekwa kitabu ambamo uliandikwa ukumbusho wa wale wanaomutii na kumuheshimu.


Nao walikuwa wakijitoa kufuata mafundisho ya mitume, kuishi katika ushirika wa kindugu, kumega mukate na kuomba.


Tena tushugulikiane kusudi tupate kuvutana sisi kwa sisi kuwa na upendo na kufanya mema.


Kisha nikasikia sauti ingine kutoka mbinguni ikisema: “Mutoke katika muji ule ninyi watu wangu, kusudi musishiriki zambi zake na kupatwa vilevile na mapigo yatakayoupata.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ