Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 13:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Ni jambo la kufurahisha unapopata kile unachotaka, kwa hiyo wapumbafu wanachukia kuepuka uovu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 13:19
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

na kuomba akisema: ‘Asifiwe Yawe, Mungu wa Israeli, ambaye amemufanya muzao wangu kuwa mufalme kwa pahali pangu, na ambaye amenipa maisha hata nimeyaona mambo hayo.’ ”


Kisha Mungu akamwambia mwanadamu: Sikia! Kumwogopa Bwana ndiyo hekima, na kujitenga na uovu ndiyo maarifa.


Basi, uache kusema mabaya, na kuepuka kusema uongo.


Achana na uovu, utende mazuri, nawe utaishi katika inchi siku zote;


Tumaini la kungojangoja linaumiza moyo, lakini tazamio linalotimia ni musingi wa uzima.


Umasikini na mazarau vinamupata yule asiyejali mafundisho, lakini mwenye kusikia maonyo anaheshimiwa.


Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Njia ya watu wa usawa ni kujiepusha na uovu; anayechunga njia yake anachunga maisha yake.


Kwa wema na uaminifu mutu anaondoa uovu. Kwa kumwogopa Yawe anaepuka ubaya.


Wanaopenda kumwanga damu wanachukia mutu mukamilifu, lakini watu wa usawa wanalinda maisha yake.


Mwovu ni chukizo kwa mwenye haki, naye mwenye haki ni chukizo kwa mwovu.


Usijione wewe mwenyewe kuwa mwenye hekima; umwogope Yawe na kujiepusha na uovu.


Mara tu nilipoachana nao, nikamwona mupenzi wangu wa moyo. Nikamushika wala sikumwacha aondoke, mpaka nilipomupeleka katika nyumba kwa mama yangu, mpaka ndani ya chumba cha yule aliyenizaa.


Lakini musingi uliojengwa na Mungu, unasimama imara. Nayo maneno haya yamechapwa juu ya musingi ule “Bwana anajua wale wanaokuwa wake,” na haya mengine: “Kila mutu anayesema kwamba yeye ni wa Bwana anapaswa kujitenga na maovu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ