Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 13:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Mali ya harakaharaka inatoweka, lakini anayekusanya kidogokidogo ataiongeza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 13:11
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwovu anameza mali haramu na kuitapika; Mungu anaitoa ndani ya tumbo lake.


Utapata matunda ya jasho lako, utafurahi na kupata uheri.


Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai, lakini haki inaokoa mutu kutoka kifo.


Kiburi kinasababisha tu ugomvi, lakini kwa wanaokubali shauri jema kuna hekima.


Tumaini la kungojangoja linaumiza moyo, lakini tazamio linalotimia ni musingi wa uzima.


Mali iliyopatikana kwa haraka kwa mwanzo, haitakuwa ya heri kwa mwisho.


Mali inayopatikana kwa udanganyifu ni muvuke unaopita na mutego wa kifo.


Mutu mwaminifu atapata baraka tele, lakini mwenye pupa ya kuwa tajiri hataepuka azabu.


Mutu muchoyo anakimbilia mali, wala hajui kwamba ukosefu utamufikia.


Anayeongeza mali yake kwa mazidio na kulipisha faida, anamukusanyia mwingine mwenye kuwahurumia wamasikini.


Kama vile mwanadamu alivyokuja katika dunia akiwa uchi toka katika tumbo la mama yake, ndivyo atakavyorudi uchi kule alikotoka. Hataweza kupeleka hata sehemu ndogo ya mapato ya kazi yake.


Mutu anayepata mali isiyokuwa ya usawa ni kama kwale anayelalia mayai ambayo hakutaga. Mali yanamwishia angali kijana, na kwa mwisho anageuka sawa mupumbafu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ