Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 13:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kiburi kinasababisha tu ugomvi, lakini kwa wanaokubali shauri jema kuna hekima.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 13:10
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini watu wote wa Israeli walipoona kwamba mufalme hakuwajali, walimwambia: “Hatuna ushirika wowote na Daudi! Hatuna sehemu yetu kutoka kwa huyo mwana wa Yese. Murudie kwenu, enyi watu wa Israeli! Uitunze nyumba yako mwenyewe, ee Daudi.” Hivyo, watu wa Israeli wakarudi kila mutu kwake.


Sasa, wewe Amazia umewashinda kabisa Waedomu, na moyo wako unakufanya ujivune. Ufurahie utukufu wako, ukae katika nyumba yako; kwa nini kujitafutia taabu zitakazokuangamiza wewe mwenyewe pamoja na watu wako wa Yuda?”


Mali ya harakaharaka inatoweka, lakini anayekusanya kidogokidogo ataiongeza.


Mwenye haki anaangaa kama vile taa inayowaka vizuri, lakini waovu ni kama taa inayozimika.


Kuanzisha ugomvi ni kama kufungua maji ya kisima; achana na ugomvi mbele haujafurika.


Sikiliza shauri na kupokea mafundisho, upate hekima ya kukufaa kwa siku zinazokuja.


Mipango mizuri inafanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita inafaa kufikiri kwanza.


Mwenye kiburi na majivuno jina lake ni “Mazarau”; anatenda kwa kujivuna tu.


Mambo uliyoona kwa macho yako, usiharakishe kuyapeleka katika tribinali; maana utafanya nini kwa mwisho, kama jirani yako anakupatisha haya?


Muchoyo anachochea magomvi, lakini anayetegemea Yawe atafanikiwa.


Kulitokea ubishi kati ya wanafunzi wa kujua nani anayekuwa mukubwa kati yao.


yeye anajaa majivuno wala hajui kitu. Yeye yuko na ulema wa kubishana na kugombezana juu ya maana ya maneno. Na hayo yanaleta wivu, makelele, matukano, masingiziano


Magombano na ugomvi vinavyokuwa kati yenu vinatoka wapi? Si vinatoka katika tamaa zenu zinazopigana ndani ya miili yenu?


Wale wote walioona jambo hilo wakasema: “Jambo kama hili halijatukia wala kuonekana tangu siku ile Waisraeli walipotoka katika inchi ya Misri mpaka leo. Tufikiri juu yake, tushauriane na kuamua.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ