Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 12:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Afazali mutu wa chini anayejitegemea kuliko yule anayejitakia makubwa na kukosa chakula.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 12:9
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu mwenye haki anajali nyama wake, lakini huruma za waovu ni kutesa tu.


Mutu anasifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mwenye moyo wa mafikiri mabaya anazaruliwa.


Kuna mutu anayejidai kuwa tajiri, kumbe hana kitu. Mwengine anajiona kuwa masikini wakati ana mali tele.


‘Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao. Lakini mioyo yao ni mbali nami.


Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ